Wednesday, September 9, 2020

MKENGE WA DALALI!


 Akiwa kwenye kazi yake ya udalali, Bungubungu anapata mteja. Kwa kutumia medani za kidalali anafanikiwa kumuingiza ‘mkenge’ mteja wake huyo. Lakini kwa mshangao, ni yeye ndiye kauingia ‘mkenge!’ Naam, ni MKENGE WA DALALI! Ilikuwaje? Ingia kwenye link hii ukausome mkasa mzima: https://web.mpaper.co.tz/read/show/18454/125/mkenge-wa-dalali.html

No comments:

Post a Comment

TUPE MAONI YAKO